ETI……NANI HUANZA USALITI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME?



Siku zote kila jinsia hua inatamani kua na mwenza ambae ni mwaminifu mkweli na anaemjali na kumheshimu, lakini hua inafika kipindi mapenzi yanaanza kuyumba au kuingia katika migogoro pale mmoja anapoanza kupatwa na hofu juu ya kusalitiwa na mwenza wake

Inafahanika kwamba mapenzi ndio mzizi bora katika dunia na hakuna anaependa kusalitiwa. Sasa je katika mahusiano nani huwa anaanza usaliti kati ya MWANAMKE na MWANAUME???


Love Clinic imeliona hili na kuamua kulileta kwako ili tujadiliane kwa pamoja kwamba nini sababu au nini chanzo cha mmoja kati ya wapenzi kumsaliti mwenzake??

Toa maoni yako yenye kuelimisha na kujenga juu ya mada hii ya leo.

Kama una tukio, changamoto au habari yeyote tutumie:
Whatsapp: +255745222780



Share on Google Plus

About Mlaki

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment