JE? WAJUA KUA ALOE VERA INASAIDIA KUKAZA UKE???


Wakati sisi wanaume tukilaumiwa kuwa na vibamia, wanawake nao huwa wanapatwa na tatizo la kuwa na uke mkubwa kiasi kwamba unaweza kuhoji huu ni uwanja wa taifa au!. Basi kina mama msiache kunipa zawadi kwa hili. Ikiwa misuli ya uke wako imelegea na uke umekuwa mkubwa na unahitaji kuubana na kuwa mdogo tena basi unachohitaji ni mshubiri freshi. Chukua aloe vera fresh, chukua jeli yake (maji maji yake) na upakae huko ndani kutwa mara 2 mpaka 3 kwa wiki 3 mpaka mwezi mmoja hivi utaona umekuwa kama binti mdogo tena na mme atabaki na wewe. Kazi ni kwenu.

Hutibu maambukizi katika uke

Unaweza kutibu maambukizi katika uke kwa kupakaa jeli ya aloe vera kwa nje na kwa kuinywa jeli kupata faida yake ya kutibu fangasi. Mililita 120 mpaka 200 za jeli ya aloe vera kila siku zinaweza kusaidia kutibu maambukizi na fangasi katika mwili na ikiwa utaendelea kuinywa kwa muda mrefu kunaweza kuzuia maambukizi zaidi kutokujirudia baadaye.

Hulainisha sehemu kavu za siri

Aloe Vera hufanya kazi kama kilainishi bora kabisa cha asili katika maeneo ya siri kwa jinsia zote mbili na kutoa unyevunyevu wa asili.

Huondoa Makeup

Kwa usalama kabisa huondoa makeup kwenye jicho na ni nzuri kwa ngozi laini inayozunguka jicho lako.

Endelea kuitembelea Love Clinic ili kuweza kupata elimu yaafya ili kuweza kuimarisha mahusiano yako na familia kwa ujumla.

una swali au comment unaweza kushare nasi hapo chini 


JINSI YA KUTENGENEZA ALOE VERA OIL NYUMBANI KWAKO



Share on Google Plus

About Mlaki

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment