Swali Ni Je
wazijua aina za vyakula ambavyo watakiwa kula wakati wa Siku zako za hedhi
(Period)
Katika
kipindi cha mzunguko (siku za hedhi) kwa kawaida wanawake hupoteza kiasi cha
damu pamoja na baadhi ya madini mwilini.
Hali hiyo
huweza kusababisha upungufu wa damu kama mwanamke atakuwa hapati lishe bora na
ya kutosha. Sasa ili kuzuia upungufu wa damu na madini mwilini, msichana/mwanamke
anatakiwa kula vyakula vyenye madini chuma na chokaa kwa wingi ikiwa ni pamoja
na hivi vifuatavyo:-
Orodha ya vyakula vinavyopendekezwa
1. Mboga za
majani
2. Maharage
3. Soya
4. Samaki
5. Maziwa
6. Korosho
7. Mayai
8. Zabibu
(Juisi yake)
9. Matunda
damu
10. Dagaa
n.k.
Pia zipo aina za matunda /Juice ambazo pia hutibu au kupunguza maumivu wakati wa hedhi kwa mwanamke kwa kiasi kukikybwa ambazo ni hizi zifuatazo:
1. Ndizi Mbivu
2. Papai
3. Tangawizi nazo hutibu kwa kiasi kikubwa.
Mbali na
vyakula hivyo, pia mwanamke huhitaji kunywa maji ya kutosha kipindi hiki na
kuzingatia hali ya usafi wa mwili, hasa sehemu za siri. Tumia vitambaa safi
vilivyo nyooshwa kwa pasi au pedi zilizohifadhiwa katika hali ya usafi.
Una maoni
yeyote swali au ushauri wasiliana nasi
kwa simu namba +255 745 222 780, +255 713 222 705 au barua pepe mossesshio@gmail.com.
0 comments :
Post a Comment