SWALI JE? NANI HUUMIA ZAIDI ANAPOGUNDUA MWENZA WAKE KACHEPUKA????

Swali Je? nani huumia zaidi anapogundua mwenza wake kachepuka???? Je nani hupaswa kua mwaminifu kwa mwenzake???




Wanawake wengi walio kwenye mahusiano hua wapo makini sana kulinda wanaume wao katika janga la michepuko, pamoja na kwamba matangazo na maonyo mengi katika televisheni na magazeti kua michepuko sio dili bakinjia kuu, hilo limeweza kuwapa sana nguvu wanawake kwa kujua mbinu nyingi za kuweza kuwalinda wanaume wao.

Pamoja na hayo yote kutokua waaminifu na kuwasaliti wanawake ambao tuko nao kwenye mahusiano na kubaki kukodoa kodoa macho kwa wasichana/wanawake wan je Je? Hii ni kuendekeza tamaa za ngono au?




Hiki ni moja ya vitu ambavyo vinasababisha wanaume wengi kuwa na tamaa za michepuko kwani tamaa inatokana na kutazama, hebu toa maoni yako juu hili!


Unawashauri nini wanaume waliojawa na tamaa za ngono kwa kisingizio cha wasichana wenye mashepu na rangi na kuwaona wale waliokua nao kwenye mahusiano hawafai???


Share on Google Plus

About Mlaki

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment